Ukosefu wa takwimu halisi za kufundishia zenye ubora toshelevu ni mojawapo wa vikwazo vikubwa vya kurasimisha uvumbuzi wa umaizi bandia ndani ya Afrika, Asia na kwingineko. Hivyo, Open for Good inazingatia takwimuhalisia za kufundishia elimu ya umaizibandia ndani ya Afrika, Asia na kwingineko. Takwimu za kufundishia zilizo nauhalisia na zenye maswali yanayohusika ya kiufundi, ambazo mara nyingi hazizingatiwi katika mipango inayoshughulikia upatikanaji wa mifumo ya umaizibandia. Hivyo basi, Open for Good hutoa nafasiili kuratibu na kubadilisha uzoefu unaohitajika kwa sasa.
Tunafanya takwimu za kufundishiazipatikane kwa uwazi, kwa kusaidia utunzaji na upatikani wa takwimu zilizopo.
Tunawaleta pamoja wanajamii kujadili maendeleo ya hivi karibuni yanayohusu ukusanyaji watakwimu na matumizi ya mifumo ya umaizi bandia, tunawezesha utengenezaji waviwango pale panapohitajika na kushirikisha mifano ya mafanikio.
Na ndiyo maana tumejikita kwenye takwimu halisia za mifumo ya umaizi bandia namatumizi ya elimu kwa njia mifumo ya tarakishi zilizo wazi, na bila ubaguzi. Pamojana wanachama wetu, tumedhamiria kutengeneza takwimu za kufundishia umaizi bandia.